10. "My Father, I thank Thee For Sleep". (10)

Nyimbo Standard Hymns Lyrics: "SALA YA ASUBUHI"

S.S AND S. 482. [D. 6S.]

Nakushukuru Baba,

Kwa raha tulizi,

Nimehifadhiwa

Kwa wako ulinzi:

Nichunge kwa wema,

Hivi leo kutwa,

Salamani mwako,

Nipate jificha.


Nami nikupende

Upendaye wana

Mfano wa mimi.

Ndiwe Mwema, Bwana.

Nipe roho nzuri

Iliyotakata,

Uwe Mtulizi

Katika matata.


Nipe kupendeza

Kwa wakubwa wangu

Na kuwasikiza,

Liwe fungu langu;Uwape baraka,

Na rafiki wote,

Afya njema pia,

Walipo po-pote.


******END*****


The List 👇of Nyimbo Standard Hymns in Kiswahili;

Post a Comment

Previous Post Next Post