3. "O Jesus Lord of Heaven Grace." (3)

Nyimbo Standard Hymns Lyrics: "SALA YA ASUBUHI"

H.C. 14 [L.M]

Jesu, Bwana wa neema,

Mwanga wake Baba mwema;

Ndiwe wa kutung'ariza,

Uliko hahuna giza.


Njoo, Jua la mbinguni,

Umulike kwetu chini;

Mwanga wa rohono pia,

Uwe kutumulikia.


Imani ya roho zetu

Ishinde miili yetu:

Myoyo ijae neema,

Ili tuwe na salama.


Siache kututakasa,

Tuwe na mapenzi hasa,

Na unyenyekevu mwingi,

Itimilike imani.


Asubuhi kila siku

Na tuanze kwako Jesu,

Ili tuonyeshe watu

Ulivyo Mwokozi, Mungu.


********End********


The List 👇of Nyimbo Standard Hymns in Kiswahili;

Post a Comment

Previous Post Next Post